NA
JOSEPH YONA
ni baada ya uchaguzi kuisha mwenyekiti wa ccm tawi la bokorani JOSEPH YONA amewapongeza viongozi walio chaguliwa juzi katika wilaya ya Temeke na kuwataka waondoe makundi yote yaliyo jitokeza kipindi chote cha mchakato wote wa uchaguzi
ccm yetu ni moja hivyo nawaomba tufanye kazi ya kujenga chama imara chenye uwezo wa kuendelea kuisimamia serikali ili iweze kuendelea kuwatumikia wananchi wa TANZANIA
Alisema ALLY KAMTANDE tumekuamini tumekupa nafasi ya uwenezi tunakuomba pambana katika nafasi yako ili kukiimarisha chama

ALMISHI HAZALI
Mama wa shoka uwezo wako katika kujenga hoja na kuzisimamia ndio ulio tufanya makada zaidi ya 500 kukuamini na akukupa nafasi ya kutuongoza ngazi UWENYEKITI tunaomba usimamie ahadi zako kuhakikisha unarudisha jimbo letu na kata yetu.
0 comments: