 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akiwa ameongozana na baadhi
 ya waendesha Bajaj wa eneo la Kabwe Jijini Mbeya, wakati alipofika 
kukutana nao ili kuwasikiliza, ambapo amesitisha kwa muda kuhamishwa kwa
 Waendesha Bajaj hao kituoni hapo mpaka hapo kituo kilichopendekezwa wao
 kwenda kifanyiwe marekebisho, pia ameagiza kuendelea kwa operesheni kwa
 Bajaji kufuata ruti na vituo walivyopangiwa ili kuepusha misongamano 
isiyo na lazima na kuhakikisha usafi unaendelea ili jiji la Mbeya liwe 
mfano wa kuigwa.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akiwa ameongozana na baadhi
 ya waendesha Bajaj wa eneo la Kabwe Jijini Mbeya, wakati alipofika 
kukutana nao ili kuwasikiliza, ambapo amesitisha kwa muda kuhamishwa kwa
 Waendesha Bajaj hao kituoni hapo mpaka hapo kituo kilichopendekezwa wao
 kwenda kifanyiwe marekebisho, pia ameagiza kuendelea kwa operesheni kwa
 Bajaji kufuata ruti na vituo walivyopangiwa ili kuepusha misongamano 
isiyo na lazima na kuhakikisha usafi unaendelea ili jiji la Mbeya liwe 
mfano wa kuigwa. Mkuu
 wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akizungumza na vijana hao 
wanaojishughulisha na Uendeshaji wa Bajaj za abiria, eneo la Kabwe, 
Jijini Mbeya.
Mkuu
 wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akizungumza na vijana hao 
wanaojishughulisha na Uendeshaji wa Bajaj za abiria, eneo la Kabwe, 
Jijini Mbeya. Baadhi
 ya madereva wa bajaji watumiao eneo la kabwe kuegesha bajaji zao 
wakizungumza na mkuu wa mkoa wa mbeya Amos Makalla (hayupo pichani). Na Mr.Pengo MMG-Mbeya.
Baadhi
 ya madereva wa bajaji watumiao eneo la kabwe kuegesha bajaji zao 
wakizungumza na mkuu wa mkoa wa mbeya Amos Makalla (hayupo pichani). Na Mr.Pengo MMG-Mbeya.
 
 
 Posts
Posts
 
 
 
 
 
0 comments: