MANJI URAIANI TENA MAMBO SHWARI

DPP YASEMA HAIONI SABABU YA KUENDELEA KUMSHIKILIA
Mfanya biashara maalufu na mmliki kwa quality group diwani wa mbagara kupitia tiketi ya ccm na aliyekuwa mwenyekiti wa club ya yanga sasa aachiwa hulu kutoka katika kesi iliyo kuwa ikimkabili ya kuhujumu uchumi wa Tanzania 

Mfanya biashara huyo aliye kuwa akishikiliwa na jeshi la polisi sasa aachwa huru baada ya muendeshe mashtka ya serikali kumuhitaji kwa hati ya dharula na kuimbia mahakama haioni sababu ya kuendelea kumshikilia yusuph manji

Maswali yaliyo tanda katika vichwa vya wanasoka wengi hususa wapenzi wa club ya yanga ni je mfanya biashara huyo atarudi tena kuifadhiri yanga 

Kutana na pavea pavea blog tutakuhabarisha 

Share on Google Plus

0 comments: