OFISI ZA WAKILI WA MANJI ZA VAMIWA NA KUIBA DOCUMENT ZOTE

WATU WASIO JULIKANA WAVAMIA OFSI YA DIWANI WA MBAGARA YUSUPH MANJI
Jengo la ofisi ya wakili ya yusuph manji diwani wa mbagara likiwa na maafisa wa ulinzi na usalama muda mchache baada ya kuvamiwa
Document muhimu za wakili huyo zimeibiwa katika kabati zilizo kuwa zikihusiana na masuala ya fedha na mambo mengine muhimu yanayo muhusu diwani wa mbagara YUSUPH MANJI

Share on Google Plus

0 comments: