Ushindi wa George Weah kuwa Rais wa nchi yake ya Liberia unampa heshima nyingine tena baada ya kuwa mchezaji pekee hadi sasa kutokea Afrika aliyewahi kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia maarufu kama Ballon d’Or 1995.
George Weah ambaye amewahi kuvichezea vilabu vya AC Milan, Chelsea na Man City ameshinda Urais na kocha wa Arsenal Arsene Wenger amempongeza leo mbele ya waandishi wa habari.
George Weah alikuwa miongoni mwa wagombe wa Urais 20.
Kocha Wenger
0 comments: