SPIKA NDUGAI ZITTO VITA NA MIMI HUWEZI

BUNGENI LEO SPIKA AMGEUKIA ZITTO KABWE NA KUMTAKA AACHE MAPEPE
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai akemea kitendo cha Mbunge wa kigoma na kiongozi wa chama cha ACT ZITTO KABWE kwa kitendo chake cha kutka kushindana na spika 

Alisema huna uwezo wa kushindana na spika nina uwezo wa kukufanya usiongee ndani ya hili bunge mpka pale utakapo maliza kipndi chako ndani ya bunge hili na usiende popote na hata ukienda usifanye lolote 

Toa maoni yako
Share on Google Plus

0 comments: