JAMVI LA HABARI NA MIAKA MIWILI YA JPM

Na mwandishi wetu SOJEY ALLY

 Gazeti la Jamvi la habari limetoa makala ambayo imeonyesha mafanikio iliyo pata Tanzania kupitia serikali ya awamu ya tano chini ya Mtukufu Rais wetu Dr John Joseph Pombe Magufuli

     kwa miaka miwili Rais amefanikiwa kutufika shapa ameweza kutatua kero ambazo baadhi ya Watanzania walisema kwa nchi Maskini kama sisi hatuwezi
 
      1. Rais JPM  amfanikiwa kutupatia watanzania wote elimu bure mpaka sekondari
   
      2. Rais JPM amefanikiwa kufufua shirika letu la ndege na kununua ndege sita mpya za umma

      3. Rais  JPM amefanikiwa kuongeza barabara ikiwemo barabara za juu za Ubungo na Tazara

     4.  Rais JPM amefanikiwa kuleta mabadiliko makubwa kwenye secta ya nishati na madini

     5 . Rais JPM amefanikiwa kuongeza makusanya ya mapato ya ndani mara dufu

     7 . Rais JPM amefanikiwa kutuleta ujenzi wa bomba la mafuta toka tanga mpaka uganda
  
      8. Rais  JPM amefanikiwa udhibiti mkubwa wa fedha za umma

      9. Rais JPM amefanikiwa kutekeleza miladi mikubwa ya maji nchi nzima

      10. Rais JPM amefanikiwa kuboresha huduma za afya kufikia hatua kupunguza safari za nje

      11.Rais JPM amefanikiwa kudhibiti wa upotevu wa mapato bandari

      12. Rais JPM amefanikiwa kuimarisha miundombinu Tanzania nzima

Watanzania bila kujali ukabila udini na itikadi za kisiasa tuungane na Rais wetu Pendwa katika kuleta mafanikio ndani ya Taifa letu nchi yetu ni moja na  ni jukumu letu kuilinda kwa nguvu zote


Share on Google Plus

0 comments: