CCM Yatangaza Mabadiliko Ya Tarehe Ya Kikao Cha Halmashauri Kuu Ya Taifa NEC


Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mabadiliko ya tarehe ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kuwa itakuwa ni Novemba 21, 2017 badala ya Novemba 22 na 23, 2017.
Share on Google Plus

0 comments: